Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu,Hassan Khatib,(kulia) alipotembelea banda la Ofisi ya faragha Ikulu,wakati wa Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora,Salum Maulid Salum,(katikati) alipotembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka Afisa katika Banda la Ofisi ya makamo wa kwanza wa Rais Hamza Rijali,wakati wa Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Salum Kassim Ali,alipotembelea banda la ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,ikiwa ni katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwapungia Mkono Maafisa katika banda la Tume ya Uchaguzi Zanzibar,alipotembelea Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,ikiwa ni katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed akisalimiana na Maafsa katika banda la Ofisi ya Mufti wa Zanzibar,alipotembelea Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,ikiwa ni katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi,(katikati) ni Katibu wa Mufti Fadhil Suleiman Soraga
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipotembelea banda la Ofisi ya
Vitambulisho vya Taifa,wakati alipofungua Maonesho ya Miaka 50 ya
Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,katika
shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Watoto hawakua nyuma kufika katika banda la Sober
House,wenye Makamo yao Kwamchin Mwanzo,katika kujionea maonesho ya
Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyoanza jana katika viwanja vya Beit
el Ras, ikiwa ni katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,alipotembelea banda la Wizara ya Kilimo,kuangalia
Miche mbali mbali ya kilimo,baada ya kuyafungua maonesho ya Miaka 50
ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyoanza jana katika viwanja vya Beit el Ras,
ikiwa ni katika shamra shamra za sherehe za Mapinduzi
Mabanda ya Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi
Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,ikiwa ni katika
shamra shamra za sherehe za Mapinduzi,kama yanavyoonekana yakiwa
katika sura ya kupendeza
Washauri wa Rais na Viongozi mbali mbali wakiwa
katika Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana
viwanja vya Beit el Ras,ikiwa ni katika shamra shamra za sherehe za
Mapinduzi
Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Afisa Mwandamizi Masoko na Mawasiliano, kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akitoa elimu ya fedha kuhusu Uwekezaji un...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa Mwandishi wa Habari Mbobevu Mariam Hamdani kwenye haf...
-
Waziri wa habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita amevitaka vyambo vya habari kuripoti Sera na Ilani ya vyama vya siasa...
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Dini ya Kiislamu, ...
-
Mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki unaoendelea katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodo...
-
Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Fainahappy Kimambo akifungua Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa It...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. ...
-
Viongozi wa kikao cha Maafisa Waandamizi wa Sekta ya Afya ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiongoza majadiliano ya kikao hicho kinachofanyi...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu M...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam. - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco Chapo mar...5 hours ago
-
Habari : JamiiAfrica , UTPC na IMS Wazindua mradi wa kulinda usalama wa Waandishi wa Habari Tanzania - Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na JamiiAfrica na taasisi ya kimataifa ya I...2 days ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl6 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA KIDATO CHA PILI, DARASA LA SITA NA DARASA LA NNE YA MWAKA 2017, JUMATATU TAREHE 29 JANUARI 2018....
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...
No comments:
Post a Comment