Habari za Punde

Habari Muhimu kwa Kila Mtu kupata habari kupitia Vyombo mbalimbali

Wananchi wakifuatilia magazeti mbambali kusoma vichwa vya habari vya magazeti hayo kupata kujuwa habari za ndani na je ya nchi ikizingatiwa wakati huu, Tukioa katika maandalizi ya Bunge Maalum la Katiba linalotarajiwa kuaza mwezi huu 18-2-2014 Mjini Dodoma.Wananchi wengi hupitia magazeiti kupati habari hizo. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.