Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Balozi
Simon Nyakoro Sirro kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu
Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha
Mhe. Kheri Denice James kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwenye hafla iliyofanyika Ikulu
Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Mboni
Mohamed Mhita kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwenye hafla iliyofanyika Ikulu
Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Beno
Morris Malisa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwenye hafla iliyofanyika Ikulu
Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Balozi
Simon Nyakoro Sirro kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu
Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Jabiri
Omari Makame kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe kwenye hafla iliyofanyika Ikulu
Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
No comments:
Post a Comment