Wachuuzi wa samaki katika bandari ya malindi Zanzibar wakiwa katika mnada wa soko hilo wakinunua samaki kutoka kwa wavuvi wanaowasili katika bandari hiyo ya asili katika visiwa vya Unguja. Katika kipindi hicho samaki wamekuwa na bei kubwa kutokana na hali ya bahari kuwa na upepo na mawimbi makubwa katika kipindi hichi na bidhaa hiyo kuwa na bei juu katika mnada huo.
SUKARI BORA YA MKULAZI, YAWAFIKIA WANANCHI KUANZIA UJAZO WA CHINI
-
Na Mwandishi Wetu
Zaidi ya wakulima 300 kutoka mkoa wa Morogoro wamenufaika na uwepo wa
Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi ambacho kinanunua miwa yao kwa aj...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment