Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, akimkabidhi Fedha Mlengwa wa Kaya Maskini wa Shehia ya Ndagoni kama ni Ishara ya uzinduzi wa mradi huo.
Walengwa wa Mradi wa kuzinusuru Kaya Maskini katika Shehia ya Ndagoni, unaofadhiliwa na TASAF III, wakisubiri majina yao kwa kupatiwa malipo yao.
Picha na Bakar Mussa-Pemba.
Picha na Bakar Mussa-Pemba.
No comments:
Post a Comment