Habari za Punde

Mabwawa ya Chumvi yakifanyiwa usafi

WANAUSHIRIKA wa kilimo cha chumvi kilichopo Chambani wilaya ya mkoani Pemba, wakifanya usafi kwenye mabwawa yao (mabirika) ya kuzalishia chumvi, mara baada ya kuvuna hivi karibuni (picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.