Watalii wakimsikiliza Mtembeza Watalii Zanzibar akitowa maelezo ya moja ya Vivutio vya watalii na wananchi wa Zenj Ubuyu ambao hupendwa sana, Watalii hao wamepata fursa ya kuuonja ubuyu huo ambao ulikuwa tayari umeshapikwa.
UZINDUZI WA KITABU CHA WATOTO: KUZUIA UTORO SHULENI
-
Dar es Salaam, 18 Julai 2025
Mwandishi wa vitabu vya kuelimisha watoto, Bi. Riziki Mohamed Juma,
amezindua rasmi kitabu chake kipya kiitwacho “Saburi” kat...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment