Watalii wakimsikiliza Mtembeza Watalii Zanzibar akitowa maelezo ya moja ya Vivutio vya watalii na wananchi wa Zenj Ubuyu ambao hupendwa sana, Watalii hao wamepata fursa ya kuuonja ubuyu huo ambao ulikuwa tayari umeshapikwa.
MRADI WA IPOSA WAONGEZA NGUVU KWA WALIMU KUWAFIKIA VIJANA NJE YA SHULE
-
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha, akizungumza leo Mei
23,2025 wakati akifunga mafunzo kwa walimu na viongozi wa Mradi wa IPOSA
katika mkoa...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment