Watalii wakimsikiliza Mtembeza Watalii Zanzibar akitowa maelezo ya moja ya Vivutio vya watalii na wananchi wa Zenj Ubuyu ambao hupendwa sana, Watalii hao wamepata fursa ya kuuonja ubuyu huo ambao ulikuwa tayari umeshapikwa.
KONGAMANO LA MIAKA 60 LINATARAJIWA KUFANYIKA TUNGUU ZANZIBAR
-
Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed
Salim (Centre Foreign Relation) Dkt. Jacob G. Nduye (Kushoto) akitoa
taarifa kwa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment