Askari wa barabarani wakiwa katika zoezi la ukaguzi wa vyombo vya moto katika maeneo mbalimbali ya mji wa Zanzibar kudhibiti uhalali wa vyombo hivyo kupata ruhusa ya kutembea barabarani baada ya kupasishwa na kuwa na bima.
SMZ YATENGA BILIONI 34 POSHO YA NAULI KWA WAFANYAKAZI
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amesema kuwa wafanyakazi wa SMZ wataongezewa posho ya shilingi
50,000 ya n...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment