Askari wa barabarani wakiwa katika zoezi la ukaguzi wa vyombo vya moto katika maeneo mbalimbali ya mji wa Zanzibar kudhibiti uhalali wa vyombo hivyo kupata ruhusa ya kutembea barabarani baada ya kupasishwa na kuwa na bima.
MAKAMU WA RAIS AKISHIRIKI IBADA YA JUMAPILI NCHINI IVORY COAST
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki M...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment