Askari wa barabarani wakiwa katika zoezi la ukaguzi wa vyombo vya moto katika maeneo mbalimbali ya mji wa Zanzibar kudhibiti uhalali wa vyombo hivyo kupata ruhusa ya kutembea barabarani baada ya kupasishwa na kuwa na bima.
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ASHIRIKI KIKAO CHA KIMATAIFA CHA SHERIA ZA
BIASHARA NA UWEKEZAJI
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki kikao cha 58
cha Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya Sheria za Biashara na Uwekezaji
kinachofanyi...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment