Habari za Punde

Rais Kikwete Amfariji Jaji. Warioba kwa kufiwa na Mkwewe.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha kumbukumbu alipokwenda kuhani msiba wa mama mkwe wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba,Marehemu Hedwig Laurent Ojjik,    Oysterbay jijini Dar es salaam leo 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mama mkwe
 wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba,Marehemu Hedwig Laurent Ojjik,   Oysterbay jijini          Dar es salaam leo 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifariji wana familia baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa mama mkwe wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba, Marehemu Hedwig Laurent Ojjik,  Oysterbay jijini  Dar es salaam leo 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa na Jaji Joseph Warioba na mkewe 
Mama Evelyne Warioba walipokwenda kuhani na kutoa heshima za mwisho katika msiba wa mama mkwe
 wa Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba, Marehemu Hedwig Laurent Ojjik,   Oysterbay jijini         Dar es salaam leo 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mama Evelyne Warioba  alipokwenda hunai msiba wa mama yake mzazi Marehemu Hedwig Laurent Ojjik  Oysterbay jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014
PICHA NA IKULU 

1 comment:

  1. Hee Mama mkwe Raisi anakwenda kutoa Rambi rambi.. Au Ndio anataka kujitoa kimaso maso.? baada ya kumdharau na kumtukana kuhusu katiba na kuipindisha pindisha bila yakujibu masuala 7 muhimu ya Mh. Warioba..

    Naona kama hawana chemistry nzuri hawa...

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.