Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Vietnam Bibi Nguyen
Phuong Nga,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali
Mohamed Shein akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Vietnam Bibi
Nguyen Phuong Nga,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo na ujumbe wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed
Shein akifuatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Vietnam Bibi Nguyen Phuong
Nga,baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali
Mohamed Shein akiagana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Vietnam Bibi Nguyen
Phuong Nga,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi na ujumbe aliofuatana
nao.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
No comments:
Post a Comment