Ziara ya kikazi ya ujumbe wa wadi za Makunduchi imemalizia kwenye makumbusho ya watu wajulikanao Sami, ambao maisha yao ni kama ndugu zetu Wamasai. Ziara ya kwenye kumbusho ni muhimu kwani wadi za Makunduchi zina azma ya kuanzisha kumbusho lake. Kutoka kushoto ni ndugu Mohd Simba, Abdallah Ali Kombo, mwalimu Haji Kiongo, Mohamed Muombwa na bi Mariam, diwani wa Mtegani.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment