Msikiti wa Kibweni Msheli shelini jirani na majengo ya Mh:
Raza unahitaji mchango wako kwani umo katika eneo la utanuzi wa barabara. Hivyo
waislamu wamejitolea kuuza nyumba zao zilizojirani na msikiti huo kwa ajili ya
kupisha upanuzi wa mskiti huo.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment