Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar Mhe. Hamad Yussuf Masauni (kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Kikwajuni Mhe Mahmour Mohammed Mussa,alipofika kuzungumza masuala ya jimbo lao katika viwanja vya Baraza Chukwani wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano ili kupanga mikakati ya Jimbo lao katika miradi ya maendeleo ya jimbo ikizingatiwa Jimbo likiwa na Mradi Mkubwa wa Usambazaji wa Maji Safi na Salama kwa Wananchi wao.
WAAZIMIA KUWABURUZA MAHAKAMANI WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA UMEME TANDAHIMBA
-
-Wananchi watahadharishwa kuepuka vishoka
WENYEVITI wa Serikali za vijiji na vitongoji Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa
Mtwara wamesema hawatakuwa na huruma kw...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment