Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar Mhe. Hamad Yussuf Masauni (kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Kikwajuni Mhe Mahmour Mohammed Mussa,alipofika kuzungumza masuala ya jimbo lao katika viwanja vya Baraza Chukwani wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano ili kupanga mikakati ya Jimbo lao katika miradi ya maendeleo ya jimbo ikizingatiwa Jimbo likiwa na Mradi Mkubwa wa Usambazaji wa Maji Safi na Salama kwa Wananchi wao.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment