Wananchi wa Wilaya ya Kaskazini A Unguja wakiangalia majina yao katika Kituo cha Skuli ya Pale Mkokotoni Unguja, Kuwataka Wananchi wa Jimbo la Tumbatu kuangalia majina yao kama yako sawa na kuweka pingamizi kwa Wananchi sio wakazi wa eneo hilo hawastaili kupiga kura katika eneo hilo.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment