Wananchi wa Wilaya ya Kaskazini A Unguja wakiangalia majina yao katika Kituo cha Skuli ya Pale Mkokotoni Unguja, Kuwataka Wananchi wa Jimbo la Tumbatu kuangalia majina yao kama yako sawa na kuweka pingamizi kwa Wananchi sio wakazi wa eneo hilo hawastaili kupiga kura katika eneo hilo.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment