Habari za Punde

Waziri Aboud awafariji waathirika wa maafa ya upepo mkali Mkoani

 
Waziri wa nchi Afisi ya Makmo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Moh’d Aboud, akimkabidhi mchango kutoka Idara ya Maafa, Muathirika mmoja katika Wilaya ya Mkoani Pemba.
 
Baadhi ya Waathirika wa Maafa wa Wilaya ya Mkoani Pemba, wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa pili wa Rais, Mh, Moh’d Aboud Moh’d, akizungumza nao na kuwafariji kufuatia Majumba yao kuharibika kwa Upepe Mkali uliovuma Miezi miwili iliopita.

Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais , Moh’d Aboud, akizungumza na baadhi ya Wananchi waliopata maafa yaliosababishwa na Upepo mkali uliovuma miezi miwili iliopita , huko katika ukumbi wa Umoja ni Nguvu Mkoani Pemba

 

 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.