Habari za Punde

Grand Malt yakabidhi vifaa Timu za Ligi Kuu ya Zanzibar

 


 
MENEJA wa Kinywaji cha Grand Malt, Consolata Adam akitoa maelezo katika makabidhiano ya vifaa kwa timu zinazoshiriki ligi kuu ya Zanzibar Grand Malt yaliofanyika katika uwanja wa Amaan.(Picha na Haroub Hussein).

 
RAIS wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Ravia Idarous Faina akizungumza katika makabidhiano ya vifaa kwa timu zinazoshiriki ligi kuu ya Zanzibar Grand Malt yaliofanyika katika uwanja wa Amaan.(Picha na Haroub Hussein).

 
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Mhe. Said Ali Mbarouk akihutubia katika hafla ya makabidhiano ya vifaa kwa timu zinazoshiriki ligi kuu ya Zanzibar Grand malt, kulia Meneja wa Kikwaji cha Grand Malt, Consolata Adam na kushoto Rais wa ZFA , Ravia Idarous. Makabidhiano hayo yalifanyika katika uwanja wa Amaan.(Picha na Haroub Hussein).

 
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Mhe. Said Ali Mbarouk akimkabidhi vifaa Afisa Michezo wa Mafunzo , Khamis Ali wakati wa makabidhiano ya vifaa hivyo vilivyotolewa na Grand Malt.(Picha na Haroub Hussein).

 
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Mhe. Said Ali Mbarouk akimkabidhi vifaa Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi , Issa Ahmada Jogoo wakati wa makabidhiano ya vifaa hivyo vilivyotolewa na Grand Malt.(Picha na Haroub Hussein).
 

 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.