Habari za Punde

Mafunzo ya siku mbili kwa wasaidizi wa Sheria Pemba

 
MRAJISI wa mahakama Pemba, ambae pia ni Hakimu wa mahakama ya mkoa Chakechake, Haji Omar Haji akifungua mafunzo wa siku mbili kwa wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Pemba, juu ya sheria za ardhi, mafunzo yalioandaliwa na kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC, ambapo yalifanyika afisini kwao mjini Chakechake (picha na Haji Nassor, Pemba)


MSAIDIZI wa sheria Jimbo la Konde Masanja Mabula Shauri akiuliza suali kwenye mafunzo wa siku mbili kwa wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Pemba, juu ya sheria za ardhi, mafunzo yalioandaliwa na kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC, ambapo yalifanyika afisini kwao mjini Chakechake (picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.