Habari za Punde

Mafunzo ya siku moja kwa walemavu kukabiliana na maafa yafanyika Pemba



AFISA Mdhamini Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Mhe:Amran Massoud Amran akifungua mafunzo ya siku moja kwa watu wenye ulemavu, juu ya kukabiliana na maafa huko katika Ofisi za Tasaf Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
AFISA Maafa kutoka Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Pemba, Khamis Arazak akielezea majukumu ya idara ya maafa kwa watu wenye ulemavu, juu ya kukabiliana na maafa pale yanapotokea.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)


DK Suleiman Ali Mohammed kutoka Red Cross Pemba, akifahamisha jinsi gani huduma ya kwanza inaweza kutolewa, kwa mtu aliyepata ajali na kutaka kujuwa jee yuko hai au laa, kwa kumsaidia pumzi wakati alipokuwa akitoa mafunzo kwa watu wenye ulemavu juu ya kukabiliana na maafa pale yanapotokea, hukoa katika ukumbi wa Tassaf Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.