MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe: Hanuna Ibarahim Masoud, akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa kisiwani Pemba,huko ofisini kwakwe chake chake, ikiwa ni kikao cha kwanza kwa viongozi hao kukutana nao tokea alipoteuliwa na Rais wa Zanzibar mwezi uliopita.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Kamati za Urasimishaji Makaazi Zatakiwa Kushirikiana na Viongozi wa Mitaa
-
Mratibu wa Program ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha (KKK) Bw. Elia
Kamihanda akisisitiza jambo wakati wa kikao kati ya wawakilishi wa wananchi
wa mitaa ...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment