MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe: Hanuna Ibarahim Masoud, akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa kisiwani Pemba,huko ofisini kwakwe chake chake, ikiwa ni kikao cha kwanza kwa viongozi hao kukutana nao tokea alipoteuliwa na Rais wa Zanzibar mwezi uliopita.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Kasi Ndogo ya Utekelezaji Mradi wa Umeme wa Chalize - Dodoma Yamkasirisha
Dkt.Biteko 📌 Asikitishwa mradi huo aliouzindua Novemba 2024 kuwa nyuma kwa
asilimia Saba 📌 Asema Rais Samia alitoa agizo mradi usichezewe kutokana na
umuhimu wake katika mikoa mbalimbali ikiwemo ya Magharibi 📌 Asema sababu
zilizotolewa na mkandarasi (TBEA) za kusuasua kwa mradi hazikubaliki 📌
Atoa maagizo kwa Mkandarasi kuwasilisha mpango kazi mpya kwa Katibu Mkuu
Wizara ya Nishati ili kufidia muda uliopotezwa 📌;Aagiza TANESCO kutumia
mapato ya ndani kulipa fidia wananchi wanaopisha mradi
-
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ( wan
ne kutoka kulia) akikagua vifaa vitakavyotumika katika mradi wa njia
ya kusafirisha ume...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment