KATIBU Mkuu wa CUF Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wamachama
na CUF kisiwani Pemvba katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Gomabni Kongwe Chake Chake Pemba
Mkurugenzi wa Haki za Binadamu CUF Ndg. Salim Bimani akihutubia katikas mkutano huo katika viwanja vya gombani ya kale pemba.
MKURUGENZI wa mambo
ya nje wa CUF,Ismail Jussa,akizungumza na wanachama wa CUF kisiwani
Pemba, katika mkutano wa hadhara wa chama hicho huko Gombani kongwe kisiwani
Pemba.
NAIBU katimu mkuu wa
CUF Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na wanachama wa CUF kisiwani
Pemba, katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Gombani Kongwe
kisiwani Pemba.
Wananchi wakifuatilia mkutano wa hadhara katika viwanja vya gombani ya kale pemba.
No comments:
Post a Comment