Mafundi wa wakifunga taa za kuongozea magari katika barabara ya makutano ya barabara ya michezani na darajani ili kupunguza msongamano wa magari katika barabara hiyo. Taa hizo mpya zinachukua nafasi ya taa za zamani zilizoharibika kwa muda mrefu na kuacha eneo hilo bila ya taa kwa kipindi kikubwa na kuongezeka kwa msonganmano wa magari katika barabara hiyo.
RAIS WA ZANZIBAR DK HUSSEIN ALI MWINYI AZINDUA SERA YA NISHATI YA ZANZIBAR
GOLDEN TULIP MJINI UNGUJA.
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali
Mwinyi akipokea Vitabu vya Sera ya Nishati ya Zanzibar kutoka kwa Waziri
wa Maji N...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment