Wanafunzi wa Ngazi
ya Cheti na Diploma wa fani mbali mbali ikiwemo ya Sheria na Utawala, wa Chuo
cha Z.C.B.E kilichopo Vitongoji wilaya ya Chakechake Pemba, wakiendelea na
mitihani yao ya mwaka, inayofanyika chuoni hapo jana, ambayo itamalizika oktoba
24 mwaka huu (picha na Haji Nassor, Pemba
BALOZI CHANA AWAVISHA VYEO MANAIBU KAMISHNA WAWILI NA KUSHUHUDIA UVISHWAJI
VYEO WA MAKAMISHNA WASAIDIZI WAANDAMIZI WATANO WA NCAA.
-
Kassim Nyaki, NCAA Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amewavisha cheo
manaibu kamishna wawili na kushuhudia uvishwaji vye...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment