Habari za Punde

Wanafunzi wakiwa katika Chumba cha Mitihani

Wanafunzi wa Ngazi ya Cheti na Diploma wa fani mbali mbali ikiwemo ya Sheria na Utawala, wa Chuo cha Z.C.B.E kilichopo Vitongoji wilaya ya Chakechake Pemba, wakiendelea na mitihani yao ya mwaka, inayofanyika chuoni hapo jana, ambayo itamalizika oktoba 24 mwaka huu (picha na Haji Nassor, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.