Wanafunzi wa Ngazi
ya Cheti na Diploma wa fani mbali mbali ikiwemo ya Sheria na Utawala, wa Chuo
cha Z.C.B.E kilichopo Vitongoji wilaya ya Chakechake Pemba, wakiendelea na
mitihani yao ya mwaka, inayofanyika chuoni hapo jana, ambayo itamalizika oktoba
24 mwaka huu (picha na Haji Nassor, Pemba
SOMALIA YAAMUA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KATIKA UNUNUZI WA BIDHAA ZA AFYA
-
Rais wa Somalia Mheshimiwa Hassan Sheikh Mohamud amesema nchi yake imeamua
kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa ya Tanzania katika ununuzi wa
bidhaa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment