Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Ndg, Hamad Mussa Yussuf, kulia Akimkabidhi Kadi za Waliokuwa Wanachama wa CHADEMA, na kujiunga na Chama Kipya cha Siasa cha ACT, kilichopata Usajili wake hivi karibuni na kupata Wanachama wengi kukiunga mkono chama hicho, Akimkabidhi Katibu Mkuu wa ACT Ndg. Sansin Mugambe, Wameamua kikihama Chama hicho kwa kupoteza muelekeo kwa kujiunga katika Umoja wa vYMA Vya Siasa .UKAWA na kupoteza mwelekeo kisiasa hapa Zanzibar na kumamua kujiunga na Chama hicho kipya.
WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA
WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO
-
Na Silivia Amandius -Kagera RS
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na
Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewata...
3 hours ago

Ah. Njaa tu!!
ReplyDelete