Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Ndg, Hamad Mussa Yussuf, kulia Akimkabidhi Kadi za Waliokuwa Wanachama wa CHADEMA, na kujiunga na Chama Kipya cha Siasa cha ACT, kilichopata Usajili wake hivi karibuni na kupata Wanachama wengi kukiunga mkono chama hicho, Akimkabidhi Katibu Mkuu wa ACT Ndg. Sansin Mugambe, Wameamua kikihama Chama hicho kwa kupoteza muelekeo kwa kujiunga katika Umoja wa vYMA Vya Siasa .UKAWA na kupoteza mwelekeo kisiasa hapa Zanzibar na kumamua kujiunga na Chama hicho kipya.
Wadau wa Sheria wapongeza ofisi ya Mwandishi Mkuu kwa kuandika sheria
timilifu
-
Na: Calvin Gwabara – Dar es salaam.
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bi. Amina
Talib Ali, amesema Tume hiyo ni mdau mkubw...
1 hour ago
Ah. Njaa tu!!
ReplyDelete