Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Ndg, Hamad Mussa Yussuf, kulia Akimkabidhi Kadi za Waliokuwa Wanachama wa CHADEMA, na kujiunga na Chama Kipya cha Siasa cha ACT, kilichopata Usajili wake hivi karibuni na kupata Wanachama wengi kukiunga mkono chama hicho, Akimkabidhi Katibu Mkuu wa ACT Ndg. Sansin Mugambe, Wameamua kikihama Chama hicho kwa kupoteza muelekeo kwa kujiunga katika Umoja wa vYMA Vya Siasa .UKAWA na kupoteza mwelekeo kisiasa hapa Zanzibar na kumamua kujiunga na Chama hicho kipya.
BASATA YAZINDUA RASMI TUZO ZA TMA
-
BARAZA La Sanaa (BASATA) lafungua rasmi dirisha la Kupendekeza Kazi za
Wasanii katika tuzo za Muziki nchini TMA zinazotarajiwa kufanyika Disemba
mwaka huu....
2 hours ago

Ah. Njaa tu!!
ReplyDelete