Habari za Punde

Ratiba ya Utoaji wa Vitambulisho Vya Taifa katika Zoni Nne za Unguja

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA inatowa ratiba ya Utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa Wananchi wa Zoni Nne za Unguja katika Wilaya ya Mjini. Na kuwataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kuchukuwa Vitambulisho vyao katika vituo vilivyotajwa katika zoni zao  
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.