Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA inatowa ratiba ya Utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa Wananchi wa Zoni Nne za Unguja katika Wilaya ya Mjini. Na kuwataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kuchukuwa Vitambulisho vyao katika vituo vilivyotajwa katika zoni zao
HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA
SEKONDARI- DED SELENDA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo
HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto
ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment