Habari za Punde

Dk Shein atoa salamu za mwaka mpya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa salamu za mwaka mpya wa 2015 kwa  wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla  na kuwatakia mwaka wenye Amani na Utulivu pia mafanikio makubwa ikiwemo ya Uchumi wa Taifa letu.
 
Hafla hiyo ilifanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.