Habari za Punde

Zoezi la Ukaguzi wa Magari ya Abiria Zenj.

 ASKARI wa Usalama barabarani wakiwa katika oporesheni kukagua magari yanayotembelea bila ya kukamilisha taratibu za sheria za barabarani wakiwa katika zoezi hilo katika barabara ya amaan jana
Abiria wa daladala wakiwa nje ya gari hiyo baada ya kupata pancha na kulazimika kushuka katika gari hiyo kupisha kubadilisha mpira ili kuendelea na safari yao wakiwa katika mitaa ya rahaleo jirani na klabu ya ujamaa kama ilivyokutwa na mpiga picha wetu, ilikuwa ni kuwakimbia askari wa usalama barabarani

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.