Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Katibu wa Uenezi na Itikadi wa CCM Ndg Nape Mnauye akitowa taarifa za Kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya CCM kilichokutana Afisi Kuu ya CCM kisiwandui Zanzibar.
Waandishi wakiwa makini kuchukua habari wakati wa mkutano wa taarifa ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM,iliokutana chini ya Mwenyekiti wake Dk Jakaya Mrisho Kikwete.
No comments:
Post a Comment