Habari za Punde

Maulidi ya Mtume yalivyofanyika Chakechake

 
NAIBU mufti mkuu wa Zanzibar sheikhe Mahmoud Mussa Wadi akiwahutubia waumini wa dini ya kiislamu waliohudhuria kwenye mkesha wa Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika mjini Chake Chake Pemba , (Picha na Haji Nassor, Pemba.)

 
WAUMINI wa Dini ya kiisilamu kutoka miji ya Chake Chake wakiwa katika kisimamo cha kumnyanyukia Mtume (S.A.W) kwenye Maulidi ya kuzaliwa kwake  yaliyofanyika Chake Chake Pemba, (Picha Na Haji Nassor,Pemba).

 
WANAFUNZI  wa Madrasah mbali mbali za Qur-aan waliohudhuria katika Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika  Chake Chake Pemba , (Picha Na Haji Nassor,Pemba).

WANAFUNZI wa Madrasa za Qur,aan wakiwa katika kisomo cha Maulid ya kuzaliwa Mtume (S.A.W) yaliyofanyika Chake Chake Pemba ,(Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.