Washiriki wa Matembezi ya Skuli ya BenBella wakiwa katika matembezi hayo katika barabara ya kinazini kuelekea kariakoo na kumalizia viwanja vya mnazi mmoja.
Wanafunzi wa Skuli ya Ben Bella wakishiriki katika matembezi hayo wakiwa na Ujumbe wa Kumuelimisha Mtoto wa Kike Umeelimisha Jamii Nzima Zanzibar.
Wananchi na Vijana wa Kikundi cha Mazoezi cha Mwanakwerekwe wakishiriki katika matembezi hayo.
Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Ben Bella wakiwa katika matembezi hayo wakiwa katika barabara ya kariakoo kuelekea viwanja vya mnazi mmoja kumalizia matembezi hayo yalioongozwa na Mzee Ruksa Ali Hassan Mwinyi.
Washiriki wa Matembezi hayo waliosoma Skuli hiyo wakishiriki matembezi hayo ya kilomita 5.7, yalioanzia Skuli ya Ben Bella na kumalizia viwanja vya mnazi mmoja
Rais Mstaaf Mhe Ali Hassan Mwinyi na Waziri wa Elimu wakimalizia matebezi hayo wakipiota mbele ya skuli ya Ben Bella na kuingia katika viwanja vya mnazi mmoja.
No comments:
Post a Comment