Habari za Punde

Maandalizi ya Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM Yakamilika Songea.

Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa katika mazoezi ya gwari, karate na halaiki kwenye Uwanja wa Majimaji Mjini Songea, leo wakati wa maandalizi ya maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM yanayofanyika kitaifa kesho Mkoani Ruvuma ambapo mgeni rasmi atakuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari, kwenye Uwanja wa Maji Maji mjini Songea, baada ya kukagua mazoezi ya halaiki ya Chipukizi wa CCM.












 Mmoja wa Chipukizi akiwa amebebwa baada ya kuzimia akifanya mazoezi ya gwaride
 Bendi ya Vijana wa CCM kutoka Zimbabwe ikiongoza mazoezi ya gwaride

Mkurugenzi wa TOT John Komba akizungumza na bendi ya vijana wa CCM kutoka Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.