Waziri wa Biashara,
Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe Nassor Ahmed Mazrui, akiondoa kitambaa
kuashiria uzinguzi wa kisima cha maji kilindi wilaya ya Chake Chake, katika
shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi
WAZIRI wa Biashara, Viwanda na masoko Zanzibar Mhe: Nassor Ahmed
Mazrui, akipata maelezo ya kisima cha maji kilichochimbwa na ZAWA kwa ufadhili
wa SMZ, kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa ZAWA Pemba Mhe:Juma Ali Othaman, kabla
ya kukizindua rasm ikiwa ni shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Biashara,
Viwanda na Masoko wa Zanzibar Mhe Nassor Ahmed Mazrui, akiwasha mashine ya maji
kuashiria ufunguzi wa kisima cha kusukumia maji kilindi Chake Chake Pemba,
kilichojengwa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ikiwa ni shamra shamra za
miaka 51 ya Mapinduzi
Waziri wa Biashara,
Viwanda na Masoko wa zanzibar Mhe Nassor Ahmed Mazrui, akikizindua kwa maji kwa kufungua koki kwa kuzungusha kuashiria uzinduzi wa kisima cha maji katika shehia ya Kilindi Wilaya ya Chake
Chake Pemba, ikiwa ni shamra shamra za miaka 51 ya Mpinduzi ya zanzibar
Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Mhe Hanuna Ibrahim Massoud,
akizungumza na Wanannchi waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Kisima cha Maji Safi na Salama katika Kijiji cha kilindi Wilaya ya Chake Chake,ikiwa ni maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar kuzindua Miradi mbalimbali ya Maendeleo kisiwani humo, mara baada ya
kufunguliwa kwa kisima chao cha maji.
No comments:
Post a Comment