Kikosi cha Mtibwa wakifanya mazoezi mepesi kabla ya kuaza kwa mchezo wao wa Nusu Fainal na timu ya JKU kuwania kucheza Fainali ya Kombe la Mapinduzi unaofanyika jioni hii Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Waamuzi wa mchezo wa Nusu Fainal ya Kombe la Mapinduzi wakipasha kabla ya kuanza kwa mchezo huo jioni hii uwanja wa Amaan Zanzibar
No comments:
Post a Comment