Wananchi wakiwa katika viwanja vya maisara wakisubiri muda ili kushuhudia upigaji wa fashfashi kwa ajili ya kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdallah Mwinyi Khamis, katika viwanja vya maisara kushiriki katika hafla hiyo ya maadhimisho.
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi Mhe Ayoub Mahmoud, alipowasilin katika viwanja hivyo kushiriki katika sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuadhimisha kwa upihgaji wa fashfash.
Waheshimia wakifuatilia upigaji wa Fashfash katika viwanja vya maisara mkesha wa kuamkia 12, january, katika viwanja vya maisara
Vijana wakiwa katika baskeli wakiangalia Fashfash katika viwanja vya maisara
naona pinda kaukunja hajafurahiswa na pesa zilivyotumika
ReplyDeletetuwe tunaambiwa kiasi gani kilichotumika.
ReplyDeleteBadala ya kutumia fedha kuwapelekea wanchi maendeleo zinatumika kwa mambo ya kipuuzi kama hayo.Hii ni amana na tutakwenda kuulizwa jinsi tulizitumia hizo amana ambazo Allah ametujaalia nazo
ReplyDelete