22 Januari,2015
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe
Bernard Membe akikaribisha viongozi na wajumbe katika mkutano
huo
Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu Mwenyekiti wa zamani wa CCM Mheshimiwa
John Samwel Malecela ambaye ndiye alikuwa mwenyekiti wa mazungumzo yaliyozaa
Mkataba huo akisoma muhtasari wa mazungumzo hayo
Sehemu ya ukumbi wa mkutano huo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini wa
Mhe. Salva Kiir Mayardit
Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na
anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mheshimiwa Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa
Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan
Kusini anayeongoza kundi la SPLM in
Opposition (SPLM-IO) na Dkt.
Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders –
FD).
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Salva Kiir Mayardiy
wa Sudan ya Kusini (kushoto), Makamu wa Rais wa zamani wa Sudan
Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) na Bw. Deng Alor Kuol wakionesha
hati baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha
Sudani Kusini katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha
Jumatano
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa pongezi kwa Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto), Makamu wa Rais wa
zamani wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) na Bw. Deng Alor
Kuol
baada ya kutia
saini mkatana wa makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini
katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha Jumatano Januari
21, 2015 usiku.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati Rais
Salva Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais
wa zamani wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana
mikono na
kubadilishana
nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano
ya kukiunganisha upya
chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya Ngurdoto
jijini Arusha Jumatano Januari 21, 2015
usiku.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati Rais
Salva Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais
wa zamani wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana
mikono na
kubadilishana
nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano
ya kukiunganisha upya
chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya Ngurdoto
jijini Arusha Jumatano Januari 21, 2015
usiku.
Rais Yoweri Museveni wa Uganda
akiongea
Dkt. Riek Machar akiongea
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
akiongea
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Naibu Rais wa Afrika
Kusini Cyril Ramaphosa (kulia) na Bw. Bw. Deng Alor Kuol
wakifurahia wakati Rais Salva Kiir Mayardiy
wa Sudan ya Kusini (wa pili kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani wa
Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana
wa makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani
Kusini katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha Jumatano Januari 21,
2015 usiku.
Rais Salva Kiir Mayardit wa Sudan ya
Kusini
Rais Salva Kiir Mayardit wa Sudan ya Kusini (kushoto) na
Makamu wa Rais wa zamani wa Sudan Dkt Riek Machar
Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na kubadilishana nyaraka
baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha SPLM
cha Sudani Kusini katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha
Jumatano Januari 21, 2015 usiku.
Rais
Kikwete na Bw. Dkt Kuol wakipiga makofi wakati Rais Salva Kiir
Mayardit wa Sudan ya Kusini (kushoto) na
Makamu wa Rais wa zamani wa Sudan Dkt Riek Machar Teny wakipeana
mikono kwa furaha baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya
kukiunganisha
upya chama cha SPLM cha Sudani
Kusin
Naibu Rais wa Afrika ya Kusini Mhe Cyril Ramaphosa
akiongea na kupongeza hatua iliyofikiwa
Rais Kikwete akiongea na viongozi na wajumbe katika
mkutano huo
Rais Kikwete akiongea na viongozi na wajumbe katika
mkutano huo
Rais Kikwete akiongea na viongozi na wajumbe katika
mkutano huo
Rais Kikwete akiongea na viongozi na wajumbe katika
mkutano huo
Wajumbe wa kundi
la SPLM
in Opposition (SPLM-IO)
Sehemu ya wajumbe wa kundi
la SPLM in
Opposition (SPLM-IO)
Kila mtu alisimama kumshangilia Rais
Kikwete
Wajumbe wa kundi la SPLM
Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders –
FD)
Furaha kwa kila mtu
Katibu Mkuu wa CCM Mheshimiwa
Abdulrahman Kinana ambaye alikuwa mwezeshaji wa mazungumzo akisoma
dondoo za makubaliano
Meza kuu katika picha ya pamoja na kundi linalojulikana kama SPLM in Government
(SPLM-IG)
Picha ya pamoja na kundi
la SPLM
in Opposition (SPLM-IO)
Picha na Sekretareti ya mazungumzo
hayo
Rais Kikwete na Mzee Malecela wakipongezana baada ya
kufanikisha mazungumzo na hatimaye makubaliano ya viongozi wa
SPLM
Rais Kikwete akishukuru vikundi vya ngoma za utamaduni
vilivyokuwapo uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro kumsindikiza
baada ya mkutano wa mafanikio
No comments:
Post a Comment