Mbuyu mnene kuliko yote Zanzibar uliko katika eneo la kisauni ambao ulikuwa historia kwa wageni na wapita njia katika barabara iendayo fumba ukikatwa kupisha ujenzi wa uzio wa uwanja wa ndege na kutowa nafasi kwa ndege zinazotuwa katika uwanja huu. Kama unavyoonekana pichani ukiwa katika hatua za mwisho ya ukataji wake huo unaoendelea kidogo kidogo baada ya kumpata mkataji wa mbuyu huo.
JAB YAMUONYA DIVA KUKIUKA MAADILI, YAMKABIDHI PRESS CARD
-
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi, Wakili Patrick Kipangula (kushoto)
akimkabidhi Press Card kwa Mtangazaji Mwandamizi wa Kituo cha Radio cha
Wasafi Media, Di...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment