Maji ni uhai kama wanavyoonekana Wanafunzi hawa wakiwa wakipata maji baada ya mwendo wa kurudi majumbani baada ya masomo yao wqakiwa katika mmoja wa mfereji katika mitaa ya makadara, mradi huo wa maji umefadhiliwa na Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Zanzibar
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment