Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Mhe Said Mohammed Dimwa akizindua kisima cha Maji Safi na Salama kilichochimbwa na Kampuni ya Bia Tanzania TBL, kulia Meneja Uhusiano wa TBL Doris Malulu. uzinduzi huo umefanyika huko mpendae Zanzibar.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment