Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Mhe Said Mohammed Dimwa akizindua kisima cha Maji Safi na Salama kilichochimbwa na Kampuni ya Bia Tanzania TBL, kulia Meneja Uhusiano wa TBL Doris Malulu. uzinduzi huo umefanyika huko mpendae Zanzibar.
WACHINA WAWILI WAKAMATWA DAR WAKISAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA WALIZOWEKA
KATIKA ‘VITABU FEKI’
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WATUHUMIWA sita wakiwemo raia wawili wa China ambao wamefahamika kwa majina
ya Chein Bai na Qixian Xin wamekamatwa eneo la Post...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment