Ujumbe wa Manispaa ya Kiruna umewasili leo na kupokelewa na Afisa Tawala mstaafu wa Wilaya ya Kusini ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Wadi za Makunduchi, ndugu Abdallah Ali Kombo. Ujumbe huo utaanza ziara yake rasmi kesho kwa kuangalia kiwanja kinachotegemewa kujengwa chuo cha biashara huko kigaeni Makunduchi. Katika picha kutoka kulia ni ndugu David, Bi Anniken, ndugu Kenneth, ndugu Abdallah Ali Kombo na ndugu Ove, ambaye ndiye mkuu wa miradi.
TPDC YANG'ARA KATIKA MAONESHO YA 49 YA SABASABA, YASHINDA TUZO YA MAZINGIRA
-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi katika
Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama
Sabasaba, b...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment