MMOJA wa Viongozi wa chama Cha ADC
Kisiwani Pemba, akiwagawia wananchi na wanachama wa chama hicho katiba
iliyopendekezwa, huko katika kiwanja cha Kangangani ili kwenda kuisoma na
kuipigia kura wakatiu utakapofika.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
BAADHI ya akinamana na wapenzi wa chama
cha ADC kisiwani Pemba, wakisoma katiba iliyopendekezwa mara baada ya kupatia
na chama chao, huko katika mkutano wa chama hicho Kangagani jimbo la Ole Wilaya
ya Wete Pemba.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
WATOTO wadogo wakiiangalia katiba
iliyopendekezwa mara baada ya kutolewa na chama cha ADC huko katika kiwanja cha
Kangagani jimbo la Ole Wilaya ya Wete Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWENYEKITI wa chama cha ADC Taifa, Said
Miraji Abdalla akiwaonyesha wananchi katiba iliyopendekeza na kuwataka kwenda
kuisoma katiba hiyo, mara baada ya kutolewa katiba hiyo katika mkutano wa
hadhara wa chama hicho, huko Kangagani jimbo la ole Wilaya ya Wete Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment