KATIBU wa CCM Wilaya ya Chake Chake
Mafunda Khamis akimkabidhi Shilingi Milioni Moja(1,000,000/=), Mwenyekiti wa CCM
Wilaya hiyo Yussuf Ali Juma, ikiwa ni ahadi ya katibu Mkuu wa CCM Taifa
Abdul-rahman Omar Kinana, aliyoiweka katika maskani ya ccm Mchangani Vitongoji
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Chake Chake
Yussuf Ali Juma, akizungumza na wanachama wa ccm Tawi la Mchangani Vitongoji,
mara baada ya kukabidhiwa shilingi Milioni Moja,ikiwa ni ahadi ya katibu Mkuu
wa CCM Taifa Abdull-rahmna kinana, wakati alipoitembelea maskani hiyo Januari
28 mwaka huu.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment