Mafundi wa Idara ya Utunzaji wa Barabara Zanzibar wakiwa kazini kuweka lami katika moja ya barabara za mji mkongwe za ndani katika barabara ya Mtendeni kutokea muembetanga ikiwa katika uimarishaji wake kwa kuiwekea lami baada ya muda mrefu barabara hiyo ilikuwa na mashimo na lami yake kuharibika na kufanyiwa ukarabati mkubwa wa kuweka lami mpya.
Wahitimu wa St. Mary’s Watakiwa Kujiamini na Kuthubutu Kufikia Mafanikio”
-
Na Mwandishi Wetu
MTHIBITI Ubora wa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Paschalina Herman Msofeo
amewataka wahitimu wa Kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment