Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndg Abdrahaman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Munduli Waziri Mstaaf Mhe Edward Lowasa, wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Arusha kuimarisha Chama na kuangalia maendeleo ya kutimiza ahadi zao.
UJENZI WA DARAJA LA 6 KWA UREFU TANZANIA LA PANGANI WAFIKIA ASILIMIA 74.3
-
Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 na Barabara unganishi
na mchepuko zenye urefu wa Kilomita 25 hadi tarehe 30 Septemba 2025
umefikia asil...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment