Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Michakaeni Pemba wakiwa katika harakati za kupanda
Meli ya Sea Link, baada ya kumaliza ziara ya kimasomo yaliofanya katika Kisiwa
cha Unguja wakiwa wageni wa Skuli ya Sekondari ya Bububu , ziara kama hizi zinajenga
uelewa kwa Wanafunzi kuelewa historia ya Visiwa vya Unguja na Pemba wakiwa
katika ziara kama hizi za kimasomo katika pande mbili hizi za Zanzibar
Wananchi wa eneo la betras wakiangali gari ya
abiria yenye namba za usaji Z149 ER, ilioyopata ajali baada ya kugongana na
gari ya Noah, iliotokea usiku kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo, wamesema
ajali hiyo imetokea majira ya saa 6 usiku.
Katika ajali hiyo watu waliokuwemo katika gari hiyo wameumia na kukimbizwa hospitali kuu ya mnazi mmoja kwa
matibabu
No comments:
Post a Comment