Mwanamitindo wa Zanzibar Bi Matilda Ishungisa mwenye gauni la njano akiwa na wanamitindo wake walioonesha mitindo ya Nguo alizobuni wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake yaliofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani Zenj.
Mwanamitindo wa Zanzibar Bi Matilda Ishungusa akiwa na pozi akipita mbele ya Wanawake walioshiriki Siku ya Mwanamke yaliofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment