Mwanamitindo wa Zanzibar Bi Matilda Ishungisa mwenye gauni la njano akiwa na wanamitindo wake walioonesha mitindo ya Nguo alizobuni wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake yaliofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani Zenj.
Mwanamitindo wa Zanzibar Bi Matilda Ishungusa akiwa na pozi akipita mbele ya Wanawake walioshiriki Siku ya Mwanamke yaliofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.
RC RUVUMA ASHUHUDIA MAKABIDHIANO YA MRADI WA KIHISTORIA WA UJENZI WA CHUO
CHA UHASIBU SONGEA
-
Na Albano Midelo
Mji wa Songea mkoani Ruvuma umeanza kuandika historia mpya ya elimu ya juu
baada ya miongo ya kusubiri Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahm...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment