Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe Dk Mwinyihaji Makame
akisalimiana na Nyota wa timu ya Barcelona na Rais wa Heshima wa Timu hiyo
Johan Cruyff, walipowasili Ikulu Zanzibar kusalimiana na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, ni mwenyeji wao
aliowaalika kutembelea Zanzibar kujionea vipaji vya wachezaji wa timu ndogo za
Zanzibar.
Wachezaji
Nyota wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakisalimiana na Waziri Mwinyihaji
walipowasili Ikulu Zanzibar kwa kusalimiana na Rais wa Zanzibar katika mualiko
wa chakula cha mchana aliowaandalia wageni wake.
Waziri
wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Mhe Said Ali Mbarouk akizungumza
na mchezaji nyota wa timu ya Barcelona Kulvert
wakati wa chakula cha mchana walioandaliwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein
Ikulu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein, akizungumza na Rais wa
Heshima wa Timu ya Barcelona Johan Cruyff,
wakati wa chakula cha mchana aliowaandalia wageni wake Ikulu Zanzibar, timu ya Barcelona
ikiwa Zanzibar kwa mualiko wa Rais Shein.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein, akizungumza na ujumbe wa timu ya wachezaji wa zamani nyota wa
Barcelona wakati wa chakula cha mchana aliowaandalia Ikulu, kulia Waziri wa
Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Mhe Said Ali Mbarouk na kushoto Kocha na Rais wa Heshima wa timu
ya Barcelona Johan Cruyff.
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Michezo Zanzibar Ndg
Khamis Abdallah Said, akizungumza na kuutambulisha ujumbe wa Wachezaji wa
Zamani wa timu ya Barcelona kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Shein Ikulu Zanzibar wakati wa hafla ya chakula cha mchana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein, akiwahutubia wachezaji nyota wa timu ya Barcelona wakati wa
hafla ya chakula cha mchana
kilichofanyika Ikulu Zanzibar. Timu hiyo ikiwa Zanzibar kwa mwaliko wa
Rais wa Zanzibar Dk Shein.
Wachezaji
nyota wa Zamani wa timu ya Barcelona wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, wakati akizungumza na
wachezaji hao walipofika Ikulu Zanzibar kuonana na mwenyeji wao Rais wa
Zanzibar na kupata chakula cha mchana.
Wachezaji
nyota wa Zamani wa timu ya Barcelona wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, wakati akizungumza na
wachezaji hao walipofika Ikulu Zanzibar kuonana na mwenyeji wao Rais wa
Zanzibar na kupata chakula cha mchana.
Mchezaji wa Zamani wa timu ya Barcelona na Rais wa Heshima
wa timu ya Barcelona Johan Cruyff akizungumza wakati wa hafla hiyo wakati
walipokutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein, Ikulu kwa chakula cha mchana walioandaliwa na mwenyeji wao.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akikabidhiwa jezi ya Timu ya Barcelona yenye jina la Cruyff namba 14. Iliokuwa
ikivaliwa na mchezaji huo, akimkabidhi jezi hiyo Rais wa Heshima wa Timu ya
Barcelona Johan Cruyff, wakati wa hafla
ya chakula cha mchana kilichofanyika Ikulu Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akikabidhiwa jezi ya Timu ya Barcelona yenye jina la Cruyff namba 14. Iliokuwa
ikivaliwa na mchezaji huo, akimkabidhi jezi hiyo Rais wa Heshima wa Timu ya
Barcelona Johan Cruyff, wakati wa hafla
ya chakula cha mchana kilichofanyika Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Ali Mohamed Shein, akimkabidhi zawadi ya kitabu cha historia ya Utalii wa
Zanzibar Rais wa Heshima wa Barcelona Johan Cruyff. Wakati wa hfla ya chakula
cha mchana aliowaandaliwa wachezaji hao Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimkabidhi
zawadi ya Karafuu akitowa maelezo ya karafuu hiyo kwa Rais wa Heshima wa Barcelona Johan Cruyff.
Wakati wa hafla ya chakula cha mchana aliowaandaliwa wachezaji hao Ikulu
Zanzibar.
Wajumbe wa Kamati ya matayarisho ya mapokezi ya Timu ya
Wachezaji wa Zamani wa Barcelona wakiwa katika hafla hiyo wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar Dk Shein, akizungumza na wachezaji hao walipofika Ikulu.
Wajumbe wa Kamati ya matayarisho ya ugeni wa timu ya
Barcelona wakiwa katika ukumbi wa hafla
hiyo wakifuatilia mazungumzo ya Rais wa Zanzibar na wachezaji hao.wakwanza
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Ndg Ali Mwinyikai.
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Zanzibar wakiwa katika hafla
hiyo kujumuika na wachezaji wa zamani wa Barcelona Kocha Gulam alikuwa mchezaji
wa timu ya Taifa na timu ya miembeni na Omar Yussuf Chunda nae alikuwa mchezaji
wa timu ya Taifa ya Zanzibar na mchezaji wa timu ya miembeni Zanzibar.
No comments:
Post a Comment