Habari za Punde

Waumini wa Madhehebu mbalimbali ya Kikristo Wajumuika katika Ibaada ya Ijumaa Kuu.

Baba Paroko Cosmas Shayo wa Kanisa Katoliki Minara Miwili Zanzibar akiongoza Ibaada ya Ijumaa Kuu wakati wa kuteswa na Yesu, Ibadaa hiyo imefanyika katika kanisa la Minara Miwili Zanzibar na kuhudhuriwa na waumini wengi 
     Waumini wakishiriki katika Ibaada ya Ijumaa Kuu katika Kanisa Katoliki Minara miwili Zanzibar
 Waumini wakishiriki katika Ibaada ya Ijumaa Kuu katika Kanisa Katoliki Minara miwili Zanzibar 
 Waumini wakishiriki katika Ibaada ya Ijumaa Kuu katika Kanisa Katoliki Minara miwili Zanzibar'
Muumini Kanisa Katoliki Zanzibar Tobias Mkunde akisoma historia inayoelezea mateso aliyopata Yesu, wakati wa Ibaada ya Ijumaa Kuu iliofanyika katika kanisa hilo na kuongozwa na Baba Paroko Cosmas Shayo. 

           Waumini wakifuatilia Ibaada ya Ijumaa Kuu katika kanisa la minara miwili Zanzibar  


Waumini wa Kikristo wakijumuika katika Ibaada ya Ijumaa Kuu ilioongozwa na Paroko Cosmas Shayo iliohudhuriwa na wauumini wengi mjini Zanzibar wakiungani wa waumini wengini duniani katika Ibaada ya Ijumaa Kuu.
Wanakwaya wa Kanisa la Katoliki Minara miwili Zanzibar wakiimba kwaya wakati wa Ibaada ya Ijumaa Kuu iliofanyika katika Kanisa hilo 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.