AFISA mipango wa Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed, akifungua mkutano wa
elimu ya sheria ya Kura ya Maoni ya mwaka 2013, kwa wananchi wa Mkoa wa Kusini
Pemba, katikati ni sheha wa shehia ya Madungu Mafunda Hamad Rubea, akifuatiwa
mtendaji wa ZLSC Siti Habibu Mohamed, mkutano uliofanyika skuli ya maandalizi
Madungu, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MTENDAJI wa shehia ya Mdungu wilaya ya Chake chake,
akiwagawiya wananchi Katiba inayopendekezwa, mara baada ya maofisa wa Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, kutoa elimu ya sheria ya kura ya
Maoni ya mwaka 2013, mkutano uliofanyika skuli ya maandalizi Madungu, (Picha na Haji Nassor,
No comments:
Post a Comment