Mbunge wa Jimbo la Fuoni Said Mussa Zubeir akipuliza kipenga kuashiria kuzinduliwa kwa mashindano hayo.
Mwandishi wa Habari Takdiri Ali akifanya mahojiano na Mbunge wa Fuoni Said Mussa Zubeir mara baada ya kuzindua ligi ya Ramadhani inayofadhiliwa na Mbunge huyo.
Baadi ya washabiki wakifuatilia mtanange huo.
Kipa wa timu ya Maguta akidaka mpira. Matokeo ya mchezo huo wametoshana nguvu bila ya kufungana.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment