Habari za Punde

Ndege ya Al Salaam yalazimika kutua kwa dharura baada ya kupata hitilafu Pemba

NDEGE ya kampuni ya Al-salaam, ikiwa kwenye majani nje kidogo ya njia ya kurukia, baada ya kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Pemba, ikiwa na abiria 12, baada ya kukumbwa na hitilafu ya mashine ikiwa imesharuka juu mita 500, (Picha na Haji  Nassor, Pemba

2 comments:

  1. Na Hii style ya hivi videge vidogo kuwa na rubani mmoja vipi jamani? Au ndio sheria za usafiri Wa angani zinavyosema hebu tusaidiemi we ye kujua.

    ReplyDelete
  2. Sheria ya anga inasemea ngede yeyote ya abiria lazima iwe na marubani wawili! Na vile vile ndege yenye engine moja hairuhusiwi kubeba abiria!!! But ndugu yangu we are in Zanzibar hata sheha anasheria zake!!! Kiufupi Sheria zipo miko nono mwa watu!

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.